RAIS DKT. SAMIA AZINDUA BWAWA LA UMWAGILIAJI MTIBWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akivuta kitambaa kama ishara ya kuzindua Bwawa la umwagiliaji lenye mita za
ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya upanuzi wa mashamba na umwagiliaji
katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa kwenye muendelezo wa ziara yake ya Kikazi,
Mvomero mkoani Morogoro Agosti 3, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kama ishara ya kuzindua Bwawa la
umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 na Awamu ya tatu ya upanuzi wa
Mashamba na umwagiliaji katika Kiwanda cha Sukari Mtibwa kwenye muendelezo wa
ziara yake ya Kikazi Mkoani Morogoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali pamoja na
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa mara baada ya kuzindua Bwawa la
umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya upanuzi
wa mashamba ya Kiwanda hicho,
Taswira
ya Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu
ya upanuzi wa mashamba ya Kiwanda cha Sukari Mtibwa mara baada ya kuzinduliwa
na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Matukio mbalimbali katika hafla ya uzinduzi wa
Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya
upanuzi wa mashamba na umwagiliaji ya Kiwanda cha Sukari Mtibwa.Matukio mbalimbali katika hafla ya uzinduzi wa
Bwawa la umwagiliaji lenye mita za ujazo milioni 25 pamoja na Awamu ya tatu ya
upanuzi wa mashamba na umwagiliaji ya Kiwanda cha Sukari Mtibwa
Pich ya pamoja.
Picha ya pamoja na Rais
Viongozi waakiagana na Rais Samia Suluhu Hassan









No comments