WIZARA YA KILIMO YASISITIZA UBORA NA USALAMA WA MAHINDI YA TANZANIA
Muonekano wa mahindi ambayo tayari yamevunwa
............................................
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Wizara ya Kilimo Tanzania kupitia mamlaka ya afya ya mimea
na viuatilifu (TPHPA), imetoa taarifa juu ya ubora na usalama wa mahindi
yanayouzwa katika masoko ya Kanda ya Afrika Mashariki na Nchi Wanachama wa
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)
kutoka Tanzania kuwa ni salama na yanazingidatia ubora.



No comments