Header Ads

MRADI WA MAGEUZI YA SEKTA YA MAZIWA KUPITIA WIZARA MIFUGO WATAMBULISHWA



Muonekano wa Ng'ombe wa maziwa aliyetunzwa vizuri.

.............................................


Na Mwandishi Wetu, Dodoma

 SERIKALI kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi Machi 17, 2025 jijini Dodoma imetambulisha  mradi mpya wa kisekta wa mageuzi ya sekta ya maziwa  C-SDTP wenye thamani ya Dola za kimarekani milioni 174.3 sawa na Shilingi za kitanzania  Bilioni41 na milioni 530. 

Ng'ombe wa maziwa akiandaliwa tayari kwa kukamuliwa.

No comments

Powered by Blogger.