KIJUE KWA KIFUPI KILIMO CHA ZAO LA MPIRA WILAYA YA MUHEZA MKOANI TANGA
........................................
SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC) linaendesha kilimo cha zao la mpira
mkoani Tanga wilaya ya Muheza, shamba hilo lina ukubwa wa hekta 790 mahususi
kwa ajili ya kilimo hicho ambao hutumika kuzalisha vitu mbalimbali kama matairi
ya magari, matairi ya pikipiki, viatu, mabegi na bidhaa nyingine nyingi.
Eneo
lililotengwa kwa ajili ya kilimo hicho ni Kihuhwi ambapo shamba la Bwembwera
lenye ukubwa wa hekta 2,300. Uzalishaji wa mpira kibiashara bado haujaendelezwa
hapa Tanzania kiujumla, Uzalishaji wa Mpira katika Tarafa ya Bwembwera ni
mkubwa na kama utaendelezwa bidhaa nyingi zinazotokana na mpira zitazalishwa.
Kusoma zaidi Fursa zote za Uwekezaji zinazopatikana katika Wilaya ya Muheza Tafadhari pakua hapa( fursa za uwekezaji MUHEZA.pdf) Na (SHUGHULI ZA UWEKEZAJI.pdf)


No comments