TMX YAWEZESHA MAUZO YA TANI 34,335 ZA KAHAWA ZENYE THAMANI YA SH.BILIONI 195
Kahawa ikiandaliwa vizuri baada ya kuvunwa.
...............................................
Na Mwandishi Wetu
Ripoti ya mauzo ya mazao ya biashara Kupitia mfuko wa TMX imeonesha mpaka sasa mfuko huo imewezesha mauzo ya kilo 34,335,095 za kahawa ya wakulima wa Tanzania zenye thamani ya Sh Bilioni 195 na milioni 200.


No comments