BASHE : VIWANDA VIWILI VYA CHAI KUJENGWA NCHINI
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe
............................................
Na Mwandishi Wet, Dodoma
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa
viwanda viwili vya kuchakata chai kuanzishwa nchini ili kuliokoa zao hilo.
Viwanda hivyo vitajengwa wilayani Kilolo mkoani Iringa na Rungwe, Mbeya. Pamoja
na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akihutubia katika mkutano Mkuu wa
Wadau wa Tasnia ya zao hilo uliofanyika Aprili 8, 2025 jijini Dodoma.



No comments