Header Ads

BASHE : VIWANDA VIWILI VYA CHAI KUJENGWA NCHINI


 Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

............................................

Na Mwandishi Wet, Dodoma 

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kuwa viwanda viwili vya kuchakata chai kuanzishwa nchini ili kuliokoa zao hilo. Viwanda hivyo vitajengwa wilayani Kilolo mkoani Iringa na Rungwe, Mbeya. Pamoja na mambo mengine ameyasema hayo alipokuwa akihutubia katika mkutano Mkuu wa Wadau wa Tasnia ya zao hilo uliofanyika Aprili 8, 2025 jijini Dodoma.

No comments

Powered by Blogger.