Header Ads

WAZIRI WA KILIMO HUSSEIN BASHE AKIMUELEZA RAIS SAMIA KUHUSU UZALISHAJI WA MBEGU UNAOFANYWA NA ASA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe kuhusu uzalishaji wa mbegu unaofanywa na Wakala wa Uzalishaji wa Mbegu za Kilimo (ASA) Kilosa Mkoani Morogoro  Agosti 3, 2024.



Muonekano wa mbegu zilinazozalishwa na ASA zikiwa kwenye mifuko malumu ya kuhifadhia mbegu.
 

No comments

Powered by Blogger.