Header Ads

TMA: MVUA KUBWA KUNYESHA MIKOA 25 NCHINI


 Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha katika Mikoa 25 Nchini kuanzia Machi 11, 2025.

Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Mamlaka hiyo imeeleza Mikoa itakayo pata mvua ni Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Mtwara, Lindi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe na Ruvuma pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.

Aidha Mamlaka hiyo imeeleza kuwa kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.

No comments

Powered by Blogger.