Header Ads

RIPOTI YA AGRA FEBRUARI 2025: TANZANIA KINARA WA USALAMA WA CHAKULA BARANI AFRIKA


 RIPOTI ya hali ya usalama wa chakula ya Food Security Monitor toleo la 55 iliotolewa mwezi Februari 2025 na AGRA_Afrika imeonesha Tanzania imeendelea kuwa na hali nzuri zaidi ya upatikanaji wa chakula kwa wananchi Barani Afrika kutokana na ongezeko la uzalishaji wa mazao

No comments

Powered by Blogger.